Isaya 34:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+ Atawaangamiza;Atawachinja.+ 3 Watu wao waliouawa watatupwa nje,Na uvundo wa maiti zao utapaa;+Milima itayeyuka kwa sababu ya* damu yao.+
2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+ Atawaangamiza;Atawachinja.+ 3 Watu wao waliouawa watatupwa nje,Na uvundo wa maiti zao utapaa;+Milima itayeyuka kwa sababu ya* damu yao.+