34 Njooni karibu ili msikie, enyi mataifa,
Na msikilize, enyi watu.
Dunia na vyote vinavyoijaza na visikilize,
Nchi na mazao yake yote.
2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+
Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+
Atawaangamiza;
Atawachinja.+