Hosea 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Ninapotaka kuwaponya Waisraeli,Kosa la Waefraimu hufunuliwa pia,+Na uovu wa Samaria.+ Kwa maana wamezoea udanganyifu;+Wezi huvunja na kuingia ndani na makundi ya wavamizi hushambulia nje.+ Amosi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikieni neno hili, enyi ng’ombe wa Bashani,Mlio kwenye mlima wa Samaria,+Ninyi wanawake mnaowalaghai watu wa hali ya chini+ na kuwakandamiza maskini,Mnaowaambia waume zenu,* ‘Tuleteeni kinywaji!’
7 “Ninapotaka kuwaponya Waisraeli,Kosa la Waefraimu hufunuliwa pia,+Na uovu wa Samaria.+ Kwa maana wamezoea udanganyifu;+Wezi huvunja na kuingia ndani na makundi ya wavamizi hushambulia nje.+
4 “Sikieni neno hili, enyi ng’ombe wa Bashani,Mlio kwenye mlima wa Samaria,+Ninyi wanawake mnaowalaghai watu wa hali ya chini+ na kuwakandamiza maskini,Mnaowaambia waume zenu,* ‘Tuleteeni kinywaji!’