Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Je, Israeli ni mtumishi, au ni mtumwa aliyezaliwa nyumbani?

      Basi kwa nini amekuwa kitu cha kuporwa?

      15 Wanasimba* wananguruma dhidi yake;+

      Wameinua sauti zao.

      Waliifanya nchi yake kuwa kitu cha kutisha.

      Majiji yake yameteketezwa, hivi kwamba hakuna mkaaji.

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Watu wa Israeli ni kondoo+ waliotawanyika. Simba wamewatawanya.+ Kwanza mfalme wa Ashuru aliwanyafua;+ kisha Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akaguguna mifupa yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki