Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+ Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Ufunuo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wakasema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, mtakatifu na wa kweli,+ utajizuia mpaka lini kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”+
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
10 Wakasema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, mtakatifu na wa kweli,+ utajizuia mpaka lini kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”+