Zaburi 5:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wewe si Mungu anayefurahia uovu;+Hakuna mtu yeyote mwovu anayeweza kukaa nawe.+ 5 Hakuna mtu yeyote mwenye kiburi anayeweza kusimama mbele zako.* Unawachukia wale wote wanaotenda maovu;+
4 Kwa maana wewe si Mungu anayefurahia uovu;+Hakuna mtu yeyote mwovu anayeweza kukaa nawe.+ 5 Hakuna mtu yeyote mwenye kiburi anayeweza kusimama mbele zako.* Unawachukia wale wote wanaotenda maovu;+