Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+

      Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+

  • Methali 6:16-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;

      Naam, vitu saba vinavyomchukiza:

      17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

      18 Moyo unaopanga njama za uovu,+ na miguu inayokimbilia haraka uovu,

      19 Shahidi wa uwongo anayesema uwongo kila anapopumua,+

      Na mtu yeyote anayepanda ugomvi miongoni mwa ndugu.+

  • Habakuki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Macho yako ni safi sana yasiweze kutazama uovu,

      Nawe huwezi kuvumilia uovu.+

      Basi, kwa nini unawavumilia wenye hila+

      Na kunyamaza mtu mwovu anapommeza mtu mwadilifu kuliko yeye?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki