Habakuki 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+ Habakuki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:13 w00 2/1 12 Habakuki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:13 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2018, uku. 15 Mnara wa Mlinzi,2/1/2000, uku. 129/15/1989, kur. 17-18
13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+