Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15:1-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako?

      Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+

       2 Yule anayetembea bila kosa,*+

      Anayezoea kutenda yaliyo sawa+

      Na kusema ukweli moyoni mwake.+

       3 Hachongei kwa ulimi wake,+

      Hamtendei jirani yake jambo lolote ovu,+

      Naye hawaharibii sifa* rafiki zake.+

       4 Humkataa mtu yeyote anayedharauliwa,+

      Lakini huwaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.

      Havunji ahadi yake, hata ikimletea hasara.*+

       5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+

      Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+

      Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+

  • Methali 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Midomo inayosema ukweli itadumu milele,+

      Lakini ulimi unaosema uwongo utadumu kwa muda mfupi tu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki