2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+ Zaburi 137:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+
17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+
8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+