Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitasikiliza jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova anasema,

      Kwa maana atawaambia watu wake kuhusu amani,+ washikamanifu wake,

      Lakini wasianze tena kujiamini kupita kiasi.+

  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

  • Isaya 60:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Badala ya shaba nitaleta dhahabu,

      Na badala ya chuma nitaleta fedha,

      Badala ya mbao, shaba,

      Na badala ya mawe, chuma;

      Nitaweka amani kuwa waangalizi wako

      Na uadilifu kuwa watu wako wanaogawa kazi.+

      18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yako

      Wala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+

      Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Zekaria 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki