Zaburi 85:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitasikiliza jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova anasema,Kwa maana atawaambia watu wake kuhusu amani,+ washikamanifu wake,Lakini wasianze tena kujiamini kupita kiasi.+ Isaya 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifaNa kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+ Isaya 60:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Badala ya shaba nitaleta dhahabu,Na badala ya chuma nitaleta fedha,Badala ya mbao, shaba,Na badala ya mawe, chuma;Nitaweka amani kuwa waangalizi wakoNa uadilifu kuwa watu wako wanaogawa kazi.+ 18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yakoWala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+ Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa. Zekaria 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+
8 Nitasikiliza jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova anasema,Kwa maana atawaambia watu wake kuhusu amani,+ washikamanifu wake,Lakini wasianze tena kujiamini kupita kiasi.+
4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifaNa kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+
17 Badala ya shaba nitaleta dhahabu,Na badala ya chuma nitaleta fedha,Badala ya mbao, shaba,Na badala ya mawe, chuma;Nitaweka amani kuwa waangalizi wakoNa uadilifu kuwa watu wako wanaogawa kazi.+ 18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yakoWala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+ Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.
12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+