Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+

      Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+

      Nitawafanya kuwa wengi,*

      Nao hawatakuwa duni.+

  • Yeremia 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa mara nyingine tena nitakujenga upya nawe utajengwa upya.+

      Ewe bikira wa Israeli, utachukua tena matari yako

      Na kwenda ukicheza dansi kwa shangwe.*+

  • Yeremia 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapoipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda kwa mbegu ya* mwanadamu na kwa mbegu ya mifugo.”+

  • Zekaria 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akamwambia: “Kimbia ukamwambie yule kijana, ‘“Yerusalemu litakaliwa+ kama eneo la mashambani lililo wazi,* kwa sababu ya watu wengi na mifugo mingi iliyomo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki