Yeremia 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+ Yeremia 31:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mara nyingine tena nitakujenga upya nawe utajengwa upya.+ Ewe bikira wa Israeli, utachukua tena matari yakoNa kwenda ukicheza dansi kwa shangwe.*+ Yeremia 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapoipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda kwa mbegu ya* mwanadamu na kwa mbegu ya mifugo.”+ Zekaria 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akamwambia: “Kimbia ukamwambie yule kijana, ‘“Yerusalemu litakaliwa+ kama eneo la mashambani lililo wazi,* kwa sababu ya watu wengi na mifugo mingi iliyomo.+
19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+
4 Kwa mara nyingine tena nitakujenga upya nawe utajengwa upya.+ Ewe bikira wa Israeli, utachukua tena matari yakoNa kwenda ukicheza dansi kwa shangwe.*+
27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapoipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda kwa mbegu ya* mwanadamu na kwa mbegu ya mifugo.”+
4 Kisha akamwambia: “Kimbia ukamwambie yule kijana, ‘“Yerusalemu litakaliwa+ kama eneo la mashambani lililo wazi,* kwa sababu ya watu wengi na mifugo mingi iliyomo.+