Zekaria 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo akamwambia: “Kimbia, useme na yule kijana pale, umwambie, “ ‘Yerusalemu litakaliwa na watu+ kama nchi ya mashambani iliyo wazi, kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama wa kufugwa walio ndani yake.+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:4 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 31
4 Ndipo akamwambia: “Kimbia, useme na yule kijana pale, umwambie, “ ‘Yerusalemu litakaliwa na watu+ kama nchi ya mashambani iliyo wazi, kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama wa kufugwa walio ndani yake.+