Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama Sayuni, jiji la sherehe zetu!+

      Macho yako yataona Yerusalemu kama makao matulivu,

      Hema ambalo halitaondolewa.+

      Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe,

      Na hakuna kamba yake yoyote itakayokatwa.

  • Yeremia 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na watu wa Yuda na majiji yake yote watakaa pamoja ndani yake, wakulima na wale wanaochunga kondoo.+

  • Yeremia 33:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova anasema hivi, ‘Mahali hapa ambapo mtasema ni nchi iliyo ukiwa, isiyo na wanadamu wala mifugo, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu zilizo tupu, bila wanadamu wala wakaaji wala mifugo, itasikika tena 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi, sauti ya wale wanaosema: “Mshukuruni Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ upendo wake mshikamanifu unadumu milele!”’+

      “‘Wataleta matoleo ya shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitawarudisha mateka wa nchi, kama hapo mwanzoni,’ asema Yehova.”

  • Zekaria 8:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Wanaume wazee na wanawake wazee wataketi tena katika viwanja vya jiji la Yerusalemu, kila mmoja wao akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake mkubwa.*+ 5 Na viwanja vya jiji vitajaa wavulana na wasichana wanaocheza.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki