Yeremia 31:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Na kama nilivyowakazia uangalifu ili kuwang’oa, kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwadhuru,+ ndivyo nitakavyowakazia uangalifu ili kuwajenga na kuwapanda,”+ asema Yehova. Yeremia 32:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Kama nilivyowaletea watu hawa msiba huu mkubwa, ndivyo nitakavyowaletea mema yote ninayowaahidi.*+
28 “Na kama nilivyowakazia uangalifu ili kuwang’oa, kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwadhuru,+ ndivyo nitakavyowakazia uangalifu ili kuwajenga na kuwapanda,”+ asema Yehova.
42 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Kama nilivyowaletea watu hawa msiba huu mkubwa, ndivyo nitakavyowaletea mema yote ninayowaahidi.*+