28 “Na kama nilivyowakazia uangalifu ili kuwang’oa, kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwadhuru,+ ndivyo nitakavyowakazia uangalifu ili kuwajenga na kuwapanda,”+ asema Yehova.
14 “Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘“Kama nilivyokusudia kuwaletea msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,” asema Yehova wa majeshi, “nami sikughairi,+15 ndivyo nilivyokusudia sasa kulitendea mema jiji la Yerusalemu na nyumba ya Yuda.+ Msiogope!”’+