Kumbukumbu la Torati 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nitawapa* pia mvua kwa ajili ya nchi yenu katika majira yake, mvua ya vuli na mvua ya masika, nanyi mtakusanya nafaka yenu na divai yenu mpya na mafuta yenu.+ Yeremia 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, kuna sanamu yoyote kati ya sanamu za ubatili za mataifa inayoweza kuleta mvua,Au, je, hata mbingu zinaweza kuleta mvua zenyewe? Je, si Wewe peke yako, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini,Kwa maana wewe peke yako ndiye uliyefanya mambo hayo yote. Yeremia 51:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Anapofanya sauti yake isikike,Maji yaliyo mbinguni huwa na msukosuko,Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia. Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua,Naye huutoa upepo katika maghala yake.+ Ezekieli 34:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nitawafanya wao na eneo linalozunguka kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inyeshe kwa wakati unaofaa. Baraka zitamwagika kama mvua.+ Yoeli 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Enyi wana wa Sayuni, iweni na shangwe na kumshangilia Yehova Mungu wenu;+Kwa maana atawapa kiasi kinachofaa cha mvua ya vuli,Naye atawaletea mvua kubwa,Mvua ya vuli na mvua ya masika, kama ilivyokuwa awali.+
14 nitawapa* pia mvua kwa ajili ya nchi yenu katika majira yake, mvua ya vuli na mvua ya masika, nanyi mtakusanya nafaka yenu na divai yenu mpya na mafuta yenu.+
22 Je, kuna sanamu yoyote kati ya sanamu za ubatili za mataifa inayoweza kuleta mvua,Au, je, hata mbingu zinaweza kuleta mvua zenyewe? Je, si Wewe peke yako, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini,Kwa maana wewe peke yako ndiye uliyefanya mambo hayo yote.
16 Anapofanya sauti yake isikike,Maji yaliyo mbinguni huwa na msukosuko,Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia. Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua,Naye huutoa upepo katika maghala yake.+
26 Nitawafanya wao na eneo linalozunguka kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inyeshe kwa wakati unaofaa. Baraka zitamwagika kama mvua.+
23 Enyi wana wa Sayuni, iweni na shangwe na kumshangilia Yehova Mungu wenu;+Kwa maana atawapa kiasi kinachofaa cha mvua ya vuli,Naye atawaletea mvua kubwa,Mvua ya vuli na mvua ya masika, kama ilivyokuwa awali.+