Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nitawapa* pia mvua kwa ajili ya nchi yenu katika majira yake, mvua ya vuli na mvua ya masika, nanyi mtakusanya nafaka yenu na divai yenu mpya na mafuta yenu.+

  • Yeremia 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, kuna sanamu yoyote kati ya sanamu za ubatili za mataifa inayoweza kuleta mvua,

      Au, je, hata mbingu zinaweza kuleta mvua zenyewe?

      Je, si Wewe peke yako, Ee Yehova Mungu wetu?+

      Nasi tunakutumaini,

      Kwa maana wewe peke yako ndiye uliyefanya mambo hayo yote.

  • Yeremia 51:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Anapofanya sauti yake isikike,

      Maji yaliyo mbinguni huwa na msukosuko,

      Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia.

      Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua,

      Naye huutoa upepo katika maghala yake.+

  • Ezekieli 34:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nitawafanya wao na eneo linalozunguka kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inyeshe kwa wakati unaofaa. Baraka zitamwagika kama mvua.+

  • Yoeli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Enyi wana wa Sayuni, iweni na shangwe na kumshangilia Yehova Mungu wenu;+

      Kwa maana atawapa kiasi kinachofaa cha mvua ya vuli,

      Naye atawaletea mvua kubwa,

      Mvua ya vuli na mvua ya masika, kama ilivyokuwa awali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki