Isaya 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tangazo dhidi ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu linaloenda kwa kasi, naye anakuja Misri. Miungu ya ubatili ya Misri itatetemeka mbele zake,+Na moyo wa Misri utayeyuka ndani yake. Ezekieli 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nitaziangamiza pia sanamu zinazochukiza* na kuiharibu miungu ya ubatili ya Nofu.*+ Hakutakuwa tena na mkuu* anayetoka katika nchi ya Misri, nami nitaweka hofu katika nchi ya Misri.+
19 Tangazo dhidi ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu linaloenda kwa kasi, naye anakuja Misri. Miungu ya ubatili ya Misri itatetemeka mbele zake,+Na moyo wa Misri utayeyuka ndani yake.
13 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nitaziangamiza pia sanamu zinazochukiza* na kuiharibu miungu ya ubatili ya Nofu.*+ Hakutakuwa tena na mkuu* anayetoka katika nchi ya Misri, nami nitaweka hofu katika nchi ya Misri.+