Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini mwanajeshi mmoja akauchoma ubavu wa Yesu kwa mkuki,+ na mara moja damu na maji vikatoka.

  • Yohana 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Pia, andiko lingine linasema: “Watamtazama yule waliyemchoma.”+

  • Yohana 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kisha akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na ulete mkono wako uguse ubavu wangu, ili uache kuwa na shaka* bali uamini.”

  • Ufunuo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona, na wale waliomchoma;* na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki