Yohana 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini mwanajeshi mmoja akauchoma ubavu wa Yesu kwa mkuki,+ na mara moja damu na maji vikatoka. Yohana 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, andiko lingine linasema: “Watamtazama yule waliyemchoma.”+ Yohana 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na ulete mkono wako uguse ubavu wangu, ili uache kuwa na shaka* bali uamini.” Ufunuo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona, na wale waliomchoma;* na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.
27 Kisha akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na ulete mkono wako uguse ubavu wangu, ili uache kuwa na shaka* bali uamini.”
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona, na wale waliomchoma;* na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.