Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+

      Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+

      Aliibeba adhabu ili tupate amani,+

      Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+

  • Zekaria 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nitamimina roho ya kibali na dua juu ya nyumba ya Daudi na juu ya wakaaji wa Yerusalemu, nao watamtazama yule waliyemchoma,+ watamwombolezea kwa sauti kama ambavyo wangemwombolezea mwana wa pekee; watamhuzunikia sana kama ambavyo wangemhuzunikia mwana mzaliwa wa kwanza.

  • Yohana 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi wale wanafunzi wengine walikuwa wakimwambia: “Tumemwona Bwana!” Lakini akawaambia: “Nisipoona alama za misumari kwenye mikono yake na kutia kidole changu katika alama hizo kisha niutie mkono wangu ubavuni mwake,+ sitaamini kamwe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki