Yeremia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele. Zekaria 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “‘Nirudieni,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitawarudia ninyi,’+ asema Yehova wa majeshi.”’ Yakobo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.
12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.
3 “Waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “‘Nirudieni,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitawarudia ninyi,’+ asema Yehova wa majeshi.”’
8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.