Mambo ya Walawi 27:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kila sehemu ya kumi+ ya mazao ya ardhi au matunda ni mali ya Yehova. Sehemu hiyo ni takatifu kwa Yehova. Kumbukumbu la Torati 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Mwishoni mwa kila miaka mitatu mnapaswa kuleta sehemu yote ya kumi ya mazao yenu ya mwaka huo na kuyahifadhi ndani ya majiji yenu.+
30 “‘Kila sehemu ya kumi+ ya mazao ya ardhi au matunda ni mali ya Yehova. Sehemu hiyo ni takatifu kwa Yehova.
28 “Mwishoni mwa kila miaka mitatu mnapaswa kuleta sehemu yote ya kumi ya mazao yenu ya mwaka huo na kuyahifadhi ndani ya majiji yenu.+