Sefania 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla amri haijatekelezwa,Kabla siku hiyo haijapeperuka kama makapi,Kabla hasira inayowaka ya Yehova haijaja juu yenu,+Kabla siku ya hasira ya Yehova haijaja juu yenu, 2 Petro 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+
2 Kabla amri haijatekelezwa,Kabla siku hiyo haijapeperuka kama makapi,Kabla hasira inayowaka ya Yehova haijaja juu yenu,+Kabla siku ya hasira ya Yehova haijaja juu yenu,
7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+