Mathayo 9:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na tazama! mwanamke aliyekuwa na mtiririko wa damu+ kwa miaka 12 akaja kutoka nyuma na kugusa upindo wa vazi lake la nje,+ 21 kwa maana alikuwa akijiambia: “Nikigusa tu vazi lake la nje, nitapona.” Marko 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu aliwaponya watu wengi, wote waliokuwa wagonjwa sana walikuwa wakimkaribia ili wamguse.+ Luka 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Umati wote ulikuwa ukijaribu kumgusa, kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka+ na kuwaponya wote.
20 Na tazama! mwanamke aliyekuwa na mtiririko wa damu+ kwa miaka 12 akaja kutoka nyuma na kugusa upindo wa vazi lake la nje,+ 21 kwa maana alikuwa akijiambia: “Nikigusa tu vazi lake la nje, nitapona.”
10 Kwa sababu aliwaponya watu wengi, wote waliokuwa wagonjwa sana walikuwa wakimkaribia ili wamguse.+