20 Na tazama! mwanamke aliyekuwa na mtiririko wa damu+ kwa miaka 12 akaja kutoka nyuma na kugusa upindo wa vazi lake la nje,+21 kwa maana alikuwa akijiambia: “Nikigusa tu vazi lake la nje, nitapona.”
27 Aliposikia kumhusu Yesu, akapenya katika umati nyuma ya Yesu na kuligusa vazi lake la nje,+28 kwa maana alikuwa akisema: “Nikiyagusa tu mavazi yake ya nje, nitapona.”+
56 Na kila mahali alipokwenda katika vijiji, majiji, au mashambani watu waliwaweka wagonjwa sokoni, na kumsihi waguse tu upindo wa vazi lake la nje.+ Na wote waliougusa wakapona.