Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’”+

  • Marko 7:8-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mnaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.”+

      9 Akaendelea kuwaambia: “Mnapuuza amri ya Mungu kwa ujanja ili mfuate mapokeo yenu.+ 10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+ 11 Lakini ninyi mnasema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho ambacho kingekusaidia ni korbani, (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu),”’ 12 hivyo mnamzuia kumsaidia kwa chochote baba yake au mama yake.+ 13 Kwa hiyo, mnalibatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu ambayo mlipewa.+ Nanyi mnafanya mambo mengine mengi kama hayo.”+

  • Wakolosai 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Jihadharini ili mtu yeyote asiwachukue mateka* kupitia falsafa na udanganyifu+ mtupu kulingana na mapokeo ya wanadamu, kulingana na mambo ya msingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki