Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ Marko 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wingu likatokea na kuwafunika, na sauti+ ikasikika kutoka katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa.+ Msikilizeni.”+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+ Matendo 3:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+ 23 Kwa kweli, yeyote* ambaye hatamsikiliza Nabii huyo ataangamizwa kutoka kati ya watu.’+ Waebrania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 je, sisi tutaponyoka ikiwa tumepuuza wokovu huo mkuu?+ Kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana wetu+ nasi tukathibitishiwa na wale waliomsikia,
7 Wingu likatokea na kuwafunika, na sauti+ ikasikika kutoka katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa.+ Msikilizeni.”+
35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+ 23 Kwa kweli, yeyote* ambaye hatamsikiliza Nabii huyo ataangamizwa kutoka kati ya watu.’+
3 je, sisi tutaponyoka ikiwa tumepuuza wokovu huo mkuu?+ Kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana wetu+ nasi tukathibitishiwa na wale waliomsikia,