Mathayo 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi. Nao watamhukumia kifo+ Luka 9:44, 45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Sikilizeni kwa makini na mkumbuke maneno haya, kwa maana Mwana wa binadamu atasalitiwa mikononi mwa watu.”+ 45 Lakini hawakuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasiyafahamu, nao waliogopa kumuuliza kuhusu maneno hayo.
18 “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi. Nao watamhukumia kifo+
44 “Sikilizeni kwa makini na mkumbuke maneno haya, kwa maana Mwana wa binadamu atasalitiwa mikononi mwa watu.”+ 45 Lakini hawakuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasiyafahamu, nao waliogopa kumuuliza kuhusu maneno hayo.