-
Luka 18:31-33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Ndipo akawaita kando wale 12 na kuwaambia: “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii kuhusu Mwana wa binadamu yatatimia.*+ 32 Kwa mfano, atatiwa mikononi mwa watu wa mataifa+ naye atadhihakiwa,+ atatendewa kwa dharau, na kutemewa mate.+ 33 Watampiga mijeledi, kisha watamuua,+ lakini siku ya tatu atafufuka.”+
-