Isaya 53:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+ Isaya 53:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+
5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+