Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayeendelea kumkasirikia+ ndugu yake atawajibika mahakamani; na yeyote anayemtukana ndugu yake kwa neno la dharau atawajibika katika Mahakama Kuu; na yeyote anayesema, ‘Wewe mpumbavu usiyefaa kitu!’ atastahili moto wa Gehena.*+

  • Mathayo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi, ikiwa jicho lako la kulia linafanya ujikwae, ling’oe na kulitupilia mbali.+ Kwa maana ni afadhali upoteze kiungo kimoja kuliko mwili wako wote utupwe katika Gehena.*+

  • Marko 9:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na ikiwa jicho lako linakufanya ukwazike, litupe mbali.+ Ni afadhali uingie katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena ukiwa na macho mawili,*+

  • Waroma 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki