28 Kisha wakamtoa Yesu kwa Kayafa na kumpeleka kwenye makao ya gavana.+ Ilikuwa asubuhi mapema. Lakini wao hawakuingia ndani ya makao ya gavana, ili wasitiwe unajisi+ kwa sababu walitaka kula mlo wa Pasaka.
28 Akawaambia: “Mnajua jinsi ilivyo kinyume cha sheria kwa Myahudi kushirikiana au kumkaribia mtu wa jamii nyingine,+ lakini Mungu amenionyesha kwamba sipaswi kumwita mtu yeyote najisi au asiye safi.+
2 Basi Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale waliounga mkono kutahiriwa+ wakaanza kumkosoa,*3 wakisema: “Uliingia ndani ya nyumba ya watu ambao hawajatahiriwa nawe ukala pamoja nao.”