Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+

  • Marko 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na mnaposimama kusali, wasameheni watu makosa waliyowatendea; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu pia.”+

  • Luka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu, msamehe.+

  • Waefeso 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki