Marko 10:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wakazidi kushangaa wakamwambia:* “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+ Luka 18:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wale waliosikia hilo wakauliza: “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+
26 Wakazidi kushangaa wakamwambia:* “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+
26 Wale waliosikia hilo wakauliza: “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+