Mathayo 19:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wanafunzi waliposikia hilo, wakashangaa sana na kumuuliza: “Ni nani kwa kweli anayeweza kuokolewa?”+ 26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+ Luka 18:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wale waliosikia hilo wakauliza: “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+
25 Wanafunzi waliposikia hilo, wakashangaa sana na kumuuliza: “Ni nani kwa kweli anayeweza kuokolewa?”+ 26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
26 Wale waliosikia hilo wakauliza: “Ni nani anayeweza kuokolewa?”+ 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+