32 Sasa walikuwa barabarani wakipanda kwenda Yerusalemu, Yesu alikuwa akiwatangulia, nao walikuwa wameshangaa, lakini wale waliofuata wakaanza kuogopa. Akawapeleka kando tena wale 12 na kuanza kuwaambia mambo yaliyokuwa karibu kumpata:+
31 Ndipo akawaita kando wale 12 na kuwaambia: “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii kuhusu Mwana wa binadamu yatatimia.*+