13 Akaona kwa mbali mtini wenye majani, akaenda kuona kama angepata chochote. Lakini, alipoufikia, hakupata chochote ila majani, kwa maana hayakuwa majira ya tini. 14 Basi akauambia: “Mtu yeyote asile matunda yako tena kamwe.”+ Nao wanafunzi wake walikuwa wakisikiliza.