20 Akawaambia: “Ni kwa sababu ya imani yenu ndogo. Kwa kweli ninawaambia, mkiwa na imani inayolingana na mbegu ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka, na hakuna jambo litakalowashinda.”+
22 Yesu akawaambia: “Iweni na imani katika Mungu. 23 Kwa kweli ninawaambia mtu yeyote anayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka, ukatupwe baharini,’ bila kuwa na shaka moyoni mwake lakini awe na imani kwamba yale anayosema yatatukia, itakuwa hivyo.+
6 Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani inayolingana na mbegu ya haradali, mngeuambia mti huu wa mforsadi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii.+