5 Basi Yesu akaanza kuwaambia: “Jihadharini ili mtu yeyote asiwapotoshe.+6 Wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ nao watawapotosha wengi.
8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe,+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’ Msiwafuate.+