4 Yesu akawajibu: “Jihadharini ili mtu yeyote asiwapotoshe,+5 kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye Kristo,’ nao watawapotosha wengi.+
5 Basi Yesu akaanza kuwaambia: “Jihadharini ili mtu yeyote asiwapotoshe.+6 Wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ nao watawapotosha wengi.