4 Yesu akawajibu: “Jihadharini ili mtu yeyote asiwapotoshe,+5 kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye Kristo,’ nao watawapotosha wengi.+
8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe,+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’ Msiwafuate.+