Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 13:28-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Basi jifunzeni mfano huu kutokana na mtini: Mara tu matawi yake machanga yanapokuwa laini na kuchipua majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.+ 29 Vivyo hivyo, ninyi pia mtakapoona mambo hayo yakitukia, jueni kwamba yuko karibu, yuko mlangoni.+ 30 Kwa kweli ninawaambia kizazi hiki hakitapitilia mbali kamwe mpaka mambo haya yote yatukie.+ 31 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+

  • Luka 21:29-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo akawaambia mfano huu: “Angalieni mtini na miti mingine yote.+⁠ 30 Inapochipua, mnaona na kujua kwamba kiangazi kinakaribia. 31 Vivyo hivyo, ninyi pia mtakapoona mambo hayo yakitukia, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia. 32 Kwa kweli ninawaambia, kizazi hiki hakitapitilia mbali kamwe mpaka mambo yote yatukie.+ 33 Mbingu na dunia zitapitilia mbali, lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki