Marko 15:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na pazia la patakatifu+ likapasuka vipande viwili kuanzia juu mpaka chini.+ Luka 23:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 kwa sababu hakukuwa na nuru ya jua; kisha pazia la patakatifu+ likapasuka katikati.+