Mathayo 27:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na tazama! pazia la patakatifu+ likapasuka vipande viwili,+ kuanzia juu mpaka chini,+ dunia ikatetemeka, na miamba ikapasuka. Luka 23:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 kwa sababu hakukuwa na nuru ya jua; kisha pazia la patakatifu+ likapasuka katikati.+ Waebrania 10:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,
51 Na tazama! pazia la patakatifu+ likapasuka vipande viwili,+ kuanzia juu mpaka chini,+ dunia ikatetemeka, na miamba ikapasuka.
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,