Luka 8:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipigapiga kwa huzuni kwa sababu ya yule msichana. Basi akawaambia: “Acheni kulia,+ kwa maana hajafa bali amelala usingizi.”+ Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.”
52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipigapiga kwa huzuni kwa sababu ya yule msichana. Basi akawaambia: “Acheni kulia,+ kwa maana hajafa bali amelala usingizi.”+
11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.”