Mathayo 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tu umati ulipoondolewa, Yesu akaingia na kumshika mkono,+ kisha yule msichana mdogo akainuka.+ Luka 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akakaribia na kuligusa jeneza,* nao wale waliolibeba wakasimama. Akasema: “Kijana, ninakuambia, inuka!”+ Luka 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini akamshika mkono na kumwita: “Mtoto, inuka!”+ Matendo 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Petro akaagiza kila mtu aende nje,+ akapiga magoti na kusali. Kisha akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake, na alipomwona Petro, akaketi.+
25 Mara tu umati ulipoondolewa, Yesu akaingia na kumshika mkono,+ kisha yule msichana mdogo akainuka.+
14 Akakaribia na kuligusa jeneza,* nao wale waliolibeba wakasimama. Akasema: “Kijana, ninakuambia, inuka!”+
40 Petro akaagiza kila mtu aende nje,+ akapiga magoti na kusali. Kisha akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake, na alipomwona Petro, akaketi.+