Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha akajinyoosha juu ya mtoto huyo mara tatu na kumlilia Yehova kwa sauti akisema: “Ee Yehova Mungu wangu, tafadhali, acha uhai wa mtoto huyu umrudie.” 22 Yehova akasikiliza ombi la Eliya,+ na uhai wa mtoto huyo ukamrudia, akawa hai tena.+

  • Luka 8:52-54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipigapiga kwa huzuni kwa sababu ya yule msichana. Basi akawaambia: “Acheni kulia,+ kwa maana hajafa bali amelala usingizi.”+ 53 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau, kwa sababu walijua amekufa. 54 Lakini akamshika mkono na kumwita: “Mtoto, inuka!”+

  • Yohana 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Baada ya kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+

  • Matendo 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Petro akaagiza kila mtu aende nje,+ akapiga magoti na kusali. Kisha akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake, na alipomwona Petro, akaketi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki