Marko 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akamshika mkono yule kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Kisha akamtemea mate machoni,+ akaweka mikono juu yake na kumuuliza: “Je, unaona kitu chochote?” Yohana 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya kusema mambo hayo, akatema mate chini akafanyiza tope kwa mate, na kumpaka mtu huyo kwenye macho+
23 Yesu akamshika mkono yule kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Kisha akamtemea mate machoni,+ akaweka mikono juu yake na kumuuliza: “Je, unaona kitu chochote?”
6 Baada ya kusema mambo hayo, akatema mate chini akafanyiza tope kwa mate, na kumpaka mtu huyo kwenye macho+