23 “Na ikiwa mtu yeyote atawaambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa,’+ au, ‘Yuko pale!’ msiamini.+ 24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.