Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Na ikiwa mtu yeyote atawaambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa,’+ au, ‘Yuko pale!’ msiamini.+ 24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.

  • Luka 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na watu watawaambia, ‘Angalia pale!’ au, ‘Angalia hapa!’ Msiende wala msiwafuate.+

  • Luka 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe,+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’ Msiwafuate.+

  • 1 Yohana 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,*+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatoka kwa Mungu,+ kwa kuwa manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki