Luka 12:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Vaeni mavazi, muwe tayari*+ na mwashe taa zenu,+ 36 nanyi muwe kama watu wanaomsubiri bwana wao arudi+ kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapokuja na kupiga hodi wamfungulie mara moja.
35 “Vaeni mavazi, muwe tayari*+ na mwashe taa zenu,+ 36 nanyi muwe kama watu wanaomsubiri bwana wao arudi+ kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapokuja na kupiga hodi wamfungulie mara moja.